Advertisements

Friday, March 24, 2017

MAJALIWA AFUNGUA MKUTANO WA UWEKEZAJI NCHINI- PORT LOUIS MAURITIUS

  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akifungua mkutano wa Biashara na Uwekezaji kati ya Tanzania na Mauritius mjini Port Louis nchini Mauritius , Machi 23, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waziri Mkuu wa Mauritius, Bw. Pravind  Kumar Jugnauth akizungumza katika mkutano wa Biashara na Uwekezaji kati ya Tanzania na Mauritius mjini Port Louis Machi 23, 2017. 

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Waziri Mkuu wa Mauritius, Bw. Pravind Kumar Jugnauth katika mkutano wa Uwekezaji na Biashara kati ya Tanzania na Mauritius kabla ya kufungua mkutano huo mjini Port Louis, Machi 23, 2017. 

  Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa Biashara na Uwekezaji  kati ya Tanzania na Mauritius wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipofungua  mkutano huo mjini Port  Louis  Machi 23, 2017.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana na Waziri Mkuu wa Mauritius, Bw. Pravind Kumar Jugnauth baada ya kufungua mkutano wa Biashara na Uwekezaji kati ya Tanzania na Mauritius mjini Port Louis Machi 23, 2017.

No comments: