Mwanamitindo Asya Idarous Khamsini anatarajia leo kuonyesha mavazi mbalimbali ya asili ya Tanzania na utamaduni wake na kubainisha kuwa yatakuwa chachu na mvuto kwa watu wote kwenye tukio hilo.
Pia kutakuwa na michezo ya kitamaduni, vyakula vya asili, huku mijadara na mambo mbalimbali yatakuwapo ikiwemo kufahamiana kwa pamoja kwa watu wote
No comments:
Post a Comment