Na huyo anayetafsiri kweli anajua alichokisema siyo tafsiri sahii ya kile alichokisema mgeni wetu. Jamani tafsiri pia inakuwa tata? Au roho mbaya ili wenzako wasijuie? Kiukweli natoa pongezi kwa mama alipata tuzo 2011 amezungumza vizuri na tunapenda kwasikia na kuwaona wanawake wengine wenye juhudi tofauti tofauti ili tuweze kuelewa kwamba wanawake tunaweza.
2 comments:
Good news? Kwa mentality hizi tutatawaliwa mpaka mwisho wa dunia.
Na huyo anayetafsiri kweli anajua alichokisema siyo tafsiri sahii ya kile alichokisema mgeni wetu. Jamani tafsiri pia inakuwa tata? Au roho mbaya ili wenzako wasijuie?
Kiukweli natoa pongezi kwa mama alipata tuzo 2011 amezungumza vizuri na tunapenda kwasikia na kuwaona wanawake wengine wenye juhudi tofauti tofauti ili tuweze kuelewa kwamba wanawake tunaweza.
Post a Comment