Advertisements

Friday, February 12, 2016

Katibu Mkuu TUCTA asifia Sheria za Kazi


Katibu Mkuu wa Shirikisho la Vyama Huru vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Nicholas Mgaya akiongea na Wajumbe wa Kikao cha Tathmini ya Utendaji kazi wa Mahakama Kuu, Divisheni ya Kazi wakati wa Ufunguzi wa Kikao hicho leo katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi wa Shirika la Kazi Ulimwenguni kwa nchi za Tanzania, Kenya, Burundi, Rwanda na Uganda Bi. Mary Kawar akichangia mada wakati wa Ufunguzi wa Kikao cha Tathmini ya Utendaji Kazi wa Mahakama Kuu Divisheni ya Kazi leo katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.

Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Masuala ya Walemavu, Mhe. Dkt. Abdallah Possi akiongea na Wajumbe wa Kikao cha Tathmini ya Utendaji kazi wa Mahakama Kuu, Divisheni ya Kazi wakati wa Ufunguzi wa Kikao hicho leo katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.

Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania. Mhe. Shaaban Lila akichangia mada wakati wa Ufunguzi wa Kikao cha Tathmini ya Utendaji Kazi wa Mahakama Kuu Divisheni ya Kazi leo katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.

Wajumbe wa Kikao cha Tathmini ya Utendaji kazi wa Mahakama Kuu, Divisheni ya Kazi wakifuatilia uwasilishwaji wa mada toka kwa viongozi mbalimbali wakati wa Ufunguzi wa Kikao hicho kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.

No comments: