Advertisements

Wednesday, July 1, 2015

VIONGOZI WA CHADEMA WALIVYOSHIRIKI MAZISHI YA MWANAHABARI EDSON KAMUKARA

Jeneza lililobeba mwili wa mwanahabari Edson Kamukara likiwa limewekwa tayari kwa kutoa heshima za mwisho na kwenda kuzikwa
Mwenyekiti wa CHAHDEMA Mh Freeman Mbowe akitoa salamu za mwisho kwa mwili wa marehemu Edson Kamukara katika viwanja vya Leaders Club.
Katibu mkuu wa CHADEMA Dr Wilbroad Slaa akitoa salamu za mwisho wakati wa kuaga mwili wa marehemu Edson Kamukara.
Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Freeman Mbowe akisalimiana na Mkurugenzi wa Hali Halisi Ndugu Said Kubenea wakati wa kuaga mwili wa mwanahabari Edson Kamukara
Mh freeman Mbowe akisalimiana na mkurugenzi wa IPP MEDIA Dr Reginald Mengi.
Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr Wilbroad Slaa akisalimiana na Mkurugenzi wa IPP Media Dr Reginald Mengi

No comments: