Advertisements

Friday, May 29, 2015

WAZIRI MKUU PINDA AHUTUBIA SHEREHE ZA MIAKA 25 WA TAWLA

  Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza wakati alipozindua Uandishi wa Wosia katiak sherehe za miaka 25 ya Chama cha Wanasheria Wananwake (TAWLA0 kwenye viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam Mei 30, 2015.Kushoto ni balozi wa Sweden nchini, Lennarth Hjelaker
 7452  Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Balozi Mwanaidi Maajar baada ya kuhutubia katika sherehe za siku ya Wanasheria Wananwakde Tanzania Tawla , kwenye viwanja vya  Karimjee jijini Dar es salaam Mei 30, 2015.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Balozi wa Sweden Nchini, Lennarth Hjelaker baada ya kuhutubia katika sherehe za kuadhimisha miaka 25 ya Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA) kwenye viwanja vya  Karimjee  jijini Dar es salaam Mei 30, 2015.
  Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanachama wa Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA) baada ya kuhutubia katika sherehe za miaka 25 ya chama hicho kwenye viwanja vya  Karimjee jijini Dar es salaam Mei 30, 2015. Aliyekaa wapili kulia ni balozi wa Sweden nchini, Lennarth Hjelaker.
   Baadhi ya wananchama wa Chama cha Wanasheria Wananwake (TAWLA) wakipita kwa maandamano mbele ya mgeni rasmi Waziri Mkuu, Mizengo Pinda katika sherehe za miaka 25 ya TAWLA zilizofanyika kwenye viwanja vya Karimjee jijini Dar es slaam Mei 30, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

No comments: