Advertisements

Tuesday, March 3, 2015

JITIRIRISHE ALICHOKISEMA LE MUTUZ JUU YA KIFO CHA KOMBA NA MAISHA YA WATU WA UGHAIBUNI

LE MUTUZ NATION LIVE STRAIGHT TALK!!;- Morning people U know binadam mwenye akili siku zote hujifunza kwa kuona bila kusubiri kuambiwa.....sihitaji kuambiwa kulichomuua Captain Komba for sure after all is said and done kilichomuua ni UNENE tu hamna lolote lingine I mean kama ni ugonjwa ulianzia kwenye UNENE....now I took a note na tayari nimeshaanza mazoezi tena leo asubuhi I realiza that nilikuwa nimejizembea sana toka nirudi bongo lakini now I got a wake up call na msiba wa Komba.....na it is my hope kila mtu mwenye akili timamu amejifunza wala huhitaji kuambiwa na mtu kwamba Moyo wa Marehemu lazima ulikuwa umezidiwa na mafuta....I mean wote tutakufa anyways ila ni muhimu kuchukua tahadhari badala ya KUJIUA mwenyewe!, PEOPLE KAMA NI MNENE KULIKO INAVYOTAKIWA CHUKUA TAHADHARI ANZA MAZOEZI! CHANGE YOUR LIFESTYLE NOW! JAMANI ASUBUHI NJEMA SANA. L=e Mutuz

13 comments:

Anonymous said...

Si vibaya mtu kuelezea experience ya maisha yake alipokuwa ughaibuni.Alichokosea ni ku-generalise na kufanya kana kwamba kila mtu alioko nje anasota kama alivyosota yeye.
Hata leo hii ukimuuliza akupe analysis ya maisha ya bongo hatakuwa na lamaana la kukwambia if at all at his age bado anakula na kulala kwa wazazi.

Anonymous said...

Katisha kimtindo. But Ulaya ni ulaya kila siku kuku beer hakuna vumbi wala foleni za magari hakuna jua ni bata tu bongo haturudi NGO.msg sent

Anonymous said...

Huyu jamaa anaongeaga utumbo siku zote,sijui atakua lini,anathubutu kudharau watu wanaoishi ughaibuni wakati watoto wake wanaishi state,lazima ni mgonjwa wa akili huyu jamaa sidhani kama yuko normal

Anonymous said...

Mi na pita jamaa akikujua maisha yako yataishia kwenye Inst, Facebook tweet, blogu na vilinge vya mama ntilie

Anonymous said...

Talk: Morning people, this guy so called Le Mutuz has mentor issues and he needs to see a psychiatrist. If he's on medication, he certainly needs to take his meds religiously. How can you say this to someone who just pass away and to his family? You have to mercy sir. It looks like only flies listen to your show. People with their right mind can never listen and take you serious.

Anonymous said...

Duu jaaaamaaa kaua mwana..mmh kasema ukweli mtupu kurudi bongo libeneke huku nako kazi za kuungab unga hata kama karatasi unalo halisaidii popote shule tu muhimu..ila na wewe nikukosoe hujasema hata bongo nako watu kibao wamechoka mbaya inatisha ..wee kama umekaa mkondo wa escrow sio kila mtu..karatsi sio deal mdumo wa maisha watu ndo wanashindwa bongo wizi ...maisha ya ukweli tz kitendawili ..hata wewe mwenyewe tunakujua kwani kipi ulichonacho cha maana? Ukiondoa usanini na madeal deal tuu? Kua mpole kuna watu kibao wako sawa usa na tz wanakula bata tuu na wamefanya sana kazi za kukaa na matahiri wameso.a na wametoka ..so what? We got life mzee maneno yako

Anonymous said...

msimshambulie hizo ndio kazi zenu u.s.a akuna lolote mtu akikwambieni anataka kuja kutembea mnaingia mitini kwa ali mbaya mlokuwa nayo kazi picha tu bongo poa sana ludini mje kula vitu fresh sio mivitu ya baridi tu mwengine mnakaa vijijini kabisa uko u.s.a

Anonymous said...

You obviously have issues in your life, life is individual.
Bongo or USA.
I live in USA and always have other professions and getting paid well...I vacation in Bongo every year...
Don't come for people if they didn't send for you...get your life sir...

Anonymous said...

Agwee Wiliamu! Mbukwaaa!!
Kulya chi chi !
Wagogo oyeeee!!!

Anonymous said...

"DON'T U ARGUE WITH A FOOL PEOPLE MIGHTY NOT NOTICE THE DIFFERENT"

Anonymous said...

kapasua gogo le mutuz but tumulize yeye hivi leo hataki kweli kuja huku si kafukuzwa huku ndo maana ana uchungu mkali sana na watu wanaoishi huku.

na huko bongo anafanya nini cha maana kosa mama wakambo kumbeba angekuwa kishaa data longtime.

na kajisemea maisha yake si wote waliopo huku wako hivyo watu wana nyumba zao bwana na hawadaiwi mikopo na waala hawaana deni la shule wala la maisha wanakwenda ofisini kukaa juu ya meza wanarudi na magari yao au wanatumia usafiri wa train week end wanakula bata kwenye viwanja vya uhakika.

wanarudi bongo kama kawa so asifanya watu wote waliopo majuu wako CHOKA MBAYA KAMA ALIVYOKUWA YEYE WAKATI YUPO HUKU.

Na aache kuruka ruka na mababy kilicho muuwa mwenzake ndo hicho pia na ndo maana pressure ikapanda so na yeye ajihadhari.

uzuri yeye hana vyakuwahonga hao ma baby yeye ndo anahongwa kwa njaa yake kali.

but all in all kapasua gogo kwa wale wa design yake but kwa wale wasio wa design yake wanakula bata huku majuu kama kawaaa nakurudi bongo kama kawaa.

GROW UP DUDE LE MUTUZ.

BORA UPATE MKE WA KUKUTANDIKIA KITANDA NA HIZO AKILI ZAKO BADO HUJAPATA?

MIMI NINA DADA WA KILOKOLE UNAMTAKA?

Anonymous said...

Wee unaesema rudini bongo ..tunarudi kila siku bongo hakuna cha maana..mekalia mipombe na usanii kila mtu ana professional ya usanii..imba kidumu chama cha mapinduzi..watu maisha kila mahali wanapuga

Anonymous said...

Wengi tumetoka familia za kawaida, na tukifika huku inabidi kujisomesha. Hivyo hiyo miaka ya shule yes tunalea wazee to pay the tuition. Baada ya shule professional job, na hapo ni likizo based on seniority, ukiwa kazini 5yrs at least 4 weeks.
Unachoongelea LeMutuz ni miaka ya mwanzoni ya struggles