Diamond anahitaji kusikia na kuheshimu wanawake hasa mabinti wa watu na upendo wa ukweli. Aibu kukimbilia mali ya mwanamke wala hujui alikoitoa na kujibebesha na watoto wakiume watatu ni hasara. Diamond wewe umekuwa Baba wa kambo sasa na utabakia kuitwa Baba wa kambo maisha yako yote? Eti mimba unajuaje kama ni yako? Alikuwa mke wa mtu huyo. Usimtupe mbachao kwa msala upitao ndugu.
2 comments:
It's sounds like another version not remix!
Diamond anahitaji kusikia na kuheshimu wanawake hasa mabinti wa watu na upendo wa ukweli.
Aibu kukimbilia mali ya mwanamke wala hujui alikoitoa na kujibebesha na watoto wakiume watatu ni hasara. Diamond wewe umekuwa Baba wa kambo sasa na utabakia kuitwa Baba wa kambo maisha yako yote? Eti mimba unajuaje kama ni yako? Alikuwa mke wa mtu huyo. Usimtupe mbachao kwa msala upitao ndugu.
Post a Comment