Advertisements

Friday, December 19, 2014

SHULE YA MSINGI MISUFINI YAFIKISHA MIAKA 4O,YAKABILIWA NA CHANGAMOTO KUBWA,AICHANGIA MILIONI 4


   Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood  Akikagua Mazingira Mbalimbali ya Shule ya Msingi Misufini. kwenye Sherehe za Mazimisho ya Miaka 4o Tangu kuanzishwa Kwa Shule ya Msingi Misufini Iliyopo Manispaa ya Morogoro.Katika Maadhimisho Hayo Mbunge wa Jimbo Hilo alifanya Ukaguzi na Kuikuta Shule Hiyo Ikiwa Katika Hali Mbaya Vyumba vya Madarasa ni Chakavu,Havina Milango Wala Madirisha Licha Ya shulie Hiyo Kuafulisha wanafunzi kwa Kiwango Kikukbwa Ndani ya Wilaya ya Morogoro Mjini.



Uchakavu wa Madarasa ya Shule ya Msingi Misufini iliyotimiza Miaka 4O Tangu Kuanzishwa kwake  Ikiwa Katika Hali mbaya sana ya Uchakavu ya Miuondo Mbinu ya Shule Hiyo.
Wanafunzi wa Shule ya Msingi Misufini Wakiwa katika Gwaride Maalum la Kumpokea Mh Mbunge ambaye alikuwa Mgeni Rasmi Kwenye Maadhimisho ya Miaka 4o ya Shule hiyo.. 
Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Misufini Mwl Jane Mlawa Akitoa Taarifa Fupi kwa Mh Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjni Aziz Abood Kuhusu Shule Hiyo Kabla ya Kuanza Kwa Shuguli
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Akiwa Meza Kuu na Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Misufini Mwl Jane Mlawa Wakati wa Maadhimisho ya Miaka 4O Tangu Kuanzishwa kwa shule hiyo.
Baadhi ya Wazazi wa wanafunzi wanaosoma Shule Hiyo
Walimu wanaofundisha Shule ya Msingi Misufini wakijumuika Kuimba Wimbo wa Taifa kabla ya Kuanza kwa Maadhimisho hayo
Ngonjera Ikiwasilishwa kwa Ufasaha na Mmoja wa wanafunzi wa Shule ya Msingi Misufini Iliyopo Mkoani Morogoro. Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Misufini Mwl Jane MlawaAkijumuika na wanafunzi  Wake kuimba wimbo maalumu kwajili ya Mgeni Rasmi. 
 
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Akiongea kwenye Sherehe za Mazimisho ya Miaka 4o Tangu kuanzishwa Kwa Shule ya Msingi Misufini Iliyopo Manispaa ya Morogoro.Katika Maadhimisho Hayo Mbunge wa Jimbo Hilo alifanya Aliongoza Harambee Nas Jumla ya Shilingi Millioni 5.8 Zilichangwa Ambapo Yeye Alichangia Jumla ya Shilingi Milioni 4.5

1 comment:

Anonymous said...

Miaka 40 sawa karibia na miaka ya uhuru wa Tanzania (DANGANYIKA) badi ni chakavu kwa kiwango hicho! Escrow account Tegeta wamebeba zote wakaweka mifukoni na bado hawajawajibika!! Hivi kweli viongozi wetu na chama tawala, mheshimiwa Kinana alitembelea sana siku za karibuni maeneo haya je hakuliona hilo au wananchi na viongozi wa mikoa wanaogopa na kujipendekeza kuwa hali ni nzuri kupiga debe na nguo za kijani?? Huu sio muda wenu tena jamani mmeipeleka nchi ilikosimama ni aibuuu!!