Advertisements

Wednesday, December 17, 2014

AISHA MADINDA AFARIKI DUNIA!

Aisha Madinda - enzi za uhai wake
Aisha Madinda - enzi za uhai wake alipokuwa stejini

Aisha Madinda - enzi za uhai wake akitambulishwa na Ally Choki alipojiunga na Extra Bongo

ALIYEKUWA mnenguaji na mwimbaji wa Bendi ya Twanga Pepeta, Aisha Madinda amefariki dunia hivi punde jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi wa ASET, Asha Baraka amethibitisha kutokea kifo hicho na kuongeza kuwa mwili wa marehemu kwa sasa umehifadhiwa katika Hospitali ya Mwananyamala, Dar.

Kujua matukio na stori mbali mbali alizowahi kupitia msanii huyu maarufu Bongo na kuripotiwa na mtandao huu, nenda hapa
:Credit:GPL

1 comment:

Anonymous said...

nikiwa kama shabiki wa twanga pepeta nimesikitishwa sana na habari ya kifo cha Aisha jamani, mwezi jana tumempoteza Amigolasi leo tena yaaaani, Mwenyezi Mungu awaweke mahali pema peponi, RIP -USA MD