Advertisements

Wednesday, November 19, 2014

HABARI ZA KIPOLISI KUTOKA BUKOBA

Inasikitisha sana kifo cha huyu bwana Leonard Mtensa kilichotokea ndani ya gari lake, mpenzi wake anashikiliwa na polisi kwa uchunguzi zaidi. Hapa chini ni picha ya huyo dada na picha ya marehemu.


Jackline Hassan mwenye umri wa miaka 25 aliekuwa na marehemu
Huyu ndie marehemu bwana Leonard Mtensa alikutwa na mauti ndani ya gari lake aina ya IST akiwa na mpenzi wake.

No comments: