Advertisements

Thursday, October 30, 2014

WAZIRI WA FEDHA WA MAREKANI AKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA WATU MBALIMBALI DAR

Waziri wa fedha wa Marekani, Jacob J. Lew, akiwa katika picha ya pamoja na askari waliotekeleza ulinzi wakati wa ziara yake hapa nchini. Hapa ilikuwa muda mfupi baada ya kabla ya kuondoka jijini Jumanne jioni kwenye hoteli ya Hyatt Regency, The Kilimanjaro Hotel, jijini Dar es Salaam.
Lew akiwa katika picha ya pamoja na madereva
Lew akiwa katika picha ya pamoja na maafisa wa ubalozi wa Marekani hapa nchini kutoka kitengo cha habari na mahusiano ya umma
Lew akiwa na Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishna wa Polisi (CP), Suleiman Kova, kwenye hoteli ya Hyatt Regency, saa chache kabla ya ,kuondoka jijini Dar esw Salaam, mara baada ya kumaliza ziara yake ya siku moja iliyuojadili pamoja na mambo mengine, mahusiano ya kiuchumi baina ya Marekani na Tanzania pamoja na mradi wa Rais Barack Obama wa Power Africa Picha kwa hiosani ya K-VIS

No comments: