Advertisements

Tuesday, September 2, 2014

JUMBA LA BIG BROTHER AFRICA LATEKETEZWA NA MOTO! SHOW IMEAHIRISHWA

big brother africa house jumba nyumba imeungua moto Jumba la Big Brother Africa lateketezwa na moto! Show imeahirishwa
Msimu huu wa Big Brother Africa, “Hotshots” ambao umekuwa na mkosi kukumbwa na skendo, umekumbwa na balaa lingine baada ya jumba lililotarajiwa kufanyika show hiyo kuungua moto. Watayarishaji wa show hiyo, M-Net na Endemola wako katika hekaheka za kutafuta jumba lingine, lakini bado hawajafanikiwa. Janga hilo limepelekea waandaji hao kuahirisha uzinduzi wa bBA Hotshots kwa muda usiojulikana. Show hiyo ilikua imepangwa kuanza Jumapili September 9, kabla balaa hili halijatokea.-Credit-\Lukaza Blog

No comments: