Advertisements

Tuesday, July 29, 2014

WAZIRI WA UCHUKUZI DK.HARRISON MWAKYEMBE AFANYA ZIARA YA KIKAZI KATIKA MAKAO MAKUU YA OFISI ZA MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA (TCAA)

Waziri wa Uchukuzi Dk. Harrison Mwakyembe akisaini kitabu cha wageni wakati alipofanya ziara ya kikazi katika Makao Makuu ya Ofisi ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) jijini Dar es Salaam, kwa lengo la kuongea na wafanyakazi na kuzindua bodi ya Wakurugenzi ya TCAA.Wapili kutoka kulia ni Mwenyekiti wa bodi hiyo Mbwana Mbwana.Kulia ni makamu Mwenyekiti Weggoro Nyamajeje na Kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya TCAA ,Charles Chacha. Waziri Dk. Harrison Mwakyemba ndiyo waziri pekee aliyetembelea ofisi hizo tangua kuanzishwa.
Waziri wa Uchukuzi Dk. Harrison Mwakyembe (kulia)akimsikiliza kwa makini Mkurugenzi wa Ndege wa Mamlaka Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Nuis Kasambala alivyokuwa akimuelezea na kumuonyesha jinsi wanavyofanya mitihani kwa wanafunzi wa ndege wakati alipofanya ziara ya kikazi Makao Makuu ya Ofisi ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA)jijini Dar es Salaam, kwa lengo la kuongea na wafanyakazi na kuzindua bodi ya Wakurugenzi ya TCAA. Waliosimama nyuma ni Kamati ya bodi ya Mamlaka hiyo wakifuatilia kwa makini. 
Waziri wa Uchukuzi Dk. Harrison Mwakyembe (kulia)akisisitiza jambo kwa Mkurugenzi wa Ndege wa Mamlaka Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Nuis Kasambala alivyokuwa akimuelezea na kumuonyesha jinsi wanavyofanya mitihani kwa wanafunzi wa ndege wakati alipofanya ziara ya kikazi Makao Makuu ya Ofisi ya Mamaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA)jijini Dar es Salaam, kwa lengo la kuongea na wanafanyakazi na kuzindua bodi ya Wakurugenzi ya TCAA. Waliosimama nyuma ni Kamati ya bodi ya Mamlaka hiyo wakifuatilia kwa makini
Waziri wa Uchukuzi Dk. Harrison Mwakyembe (kulia) akikabidhiwa na Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Charles Chacha moja ya tuzo waliyotunukiwa Tanzania na Baraza la Usafiri wa Anga Duniani kwa kutambua mchango wa TCAA.anayeshuhudia katikati ni Makamu Mweneyekiti wa bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka hiyo Weggoro Nyamajeje, wakati alipofanya ziara ya kikazi Makao Makuu ya Ofisi ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA)jijini Dar es Salaam, kwa lengo la kuongea na wafanyakazi na kuzindua bodi ya Wakurugenzi ya TCAA.
Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Mbwana Mbwana akitoa shukrani kwa niaba ya bodi na wafanyakazi wa Mamlaka hiyo kwa Waziri wa Uchukuzi Dk. Harrison Mwakyembe, (wapilia kutoka kulia)wakati alipofanya ziara ya kikazi Makao Makuu ya Ofisi ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA)jijini Dar es Salaam, kwa lengo la kuongea na wafanyakazi na kuzindua bodi ya Wakurugenzi ya TCAA. Wengine ni Makamu Mwenyekiti wa Bodi Weggoro Nyamajeje na Kaimu Mkurugenzi wa TCAA ,Charles Chacha.
Waziri wa Uchukuzi Dk. Harrison Mwakyembe (katikati) akisisitiza jambo wakati alipokuwa akijibu maswali ya wafanyakazi wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) wakati alipofanya ziara ya kikazi Makao Makuu ya Ofisi ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA)jijini Dar es Salaam, kwa lengo la kuongea na wafanyakazi na kuzindua bodi ya Wakurugenzi ya TCAA. Kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka hiyo Mbwana Mbwana, wengine ni Makamu Mwenyekiti Weggoro Nyamajeje na kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka hiyo Charles Chacha.
Baadhi ya wafanyakazi wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga wakimsikiliza kwa makini Waziri wa Uchukuzi Dk. Harrison Mwakyembe (hayupo pichani) wakati alipofanya ziara ya kikazi Makao Makuu ya Ofisi ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA)jijini Dar es Salaam, kwa lengo la kuongea na wafanyakazi na kuzindua bodi ya Wakurugenzi ya TCAA.
Mmoja wa wafanyakazi wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania, akiuliza swali kwa Waziri wa Uchukuzi Dk. Harrison Mwakyembe swali (hayupo pichani) wakati alipofanya ziara ya kikazi Makao Makuu ya Ofisi ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA)jijini Dar es Salaam, kwa lengo la kuongea na wafanyakazi na kuzindua bodi ya Wakurugenzi ya TCAA.
Waziri wa Uchukuzi Dk. Harrison Mwakyembe akiteta jambo na Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Usafiri wa anga Tanzania TCAA,(kushoto) wakati alipofanya ziara ya kikazi Makao Makuu ya Ofisi ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA)jijini Dar es Salaam, kwa lengo la kuongea na wafanyakazi na kuzindua bodi ya Wakurugenzi ya TCAA.

No comments: