Advertisements

Thursday, April 17, 2014

JESHI LA NIGERIA LAWAOKOA WANAFUNZI WA KIKE WALIOTEKWA NA BOKO HARAMU

 
Msemaji wa wizara ya ulinzi wa Nigeria Bw. Chri Olukolade jana amesema, miongoni wasichana 129 waliotekwa nyara, 107 wameokolewa lakini bado kuna wasichana wanane wasijulikana walipo.

Bw. Olukonlade pia alisema, katika opresheni ya uokoaji, jeshi la Nigeria limekamata mtuhumiwa mmoja unaohusika na tukio hilo.

Gavana wa mkoa wa Borno Kashim Shettima alisema, wasichana 14 wametoroka baada ya kukamatwa. Mpaka sasa, kazi za uokoaji bado zinaendelea.

No comments: