Advertisements

Thursday, May 31, 2012

MWANAMUZIKI-LINAH ATUA BONGO NA TAYARI KWA MAKAMUZI YA MISS MWANZA KESHO IJUMAA JUNE 1, 2012

 Mjengo anoaishi mwanamuziki wa kizazi kipya Linah ambae ametua Bongo tayari baada ya kumaliza US TAMANI TOUR.
 Mwanamuziki wa kiazazi kipya akiwa ndani ya mjengo anaoishi jijini Dar Es Salaam.
 Linah ( wapili toka kulia) akiwa na mdogo wake wa kike, Mama Mzazi na kaka yake walipofika kumlaki Julius Nyerere International Airport, Dar Es Salaam.
 Linah (kushoto) akipata picha ya pamoja na Mama yake mzazi na mdogo wake wa kike
 Picha juu na chini ni Linah akipata ukodak moment mara alipowasili Julius Nyerere International Airport, Dar Es Salaam.
Linah akipata Ukodak Moment na rafiki yake mkubwa Lulu.

No comments: